NYOTA MOMBASA – UKANDA WA PWANI

Katibu Mkuu wa Masuala ya Vijana na Uchumi bunifu , Fikirini Jacobs, alijiunga na Rais Dkt. William Samoei Ruto leo katika Uwanja wa Jomo Kenyatta, Mkomani, Mombasa, wakati wa zoezi la ugawaji wa ruzuku ya kibiashara ya NYOTA yenye thamani ya Shilingi milioni 147 kwa vijana 5,880 kutoka gatuzi la Mombasa, Taita Taveta na Kwale. […]

Continue reading

GROWING THE CREATIVE ECONOMY

The PS, State Department for Youth Affairs and Creative Economy Fikirini Jacobs, was this morning hosted by Msenangu FM to  discuss the government’s interventions in growing the creative economy and create sustainable opportunities for young people across the country. The PS affirmed that the creative economy is one of the world’s fastest-growing billion-dollar industries, and […]

Continue reading