ππ˜πŽπ“π€ π˜π€π“π”π€ πŒπ€ππƒπ„π‘π€ 𝐍𝐀 π–π€π‰πˆπ‘

Ugawaji wa kitaifa wa mtaji wa kuanzisha biashara chini ya mradi wa National Youth Opportunities Towards Advancement (NYOTA) umefikia kilele leo katika hafla mbili kubwa zilizofanyika kwa wakati mmoja katika Viwanja vya Mandera na Wajir mtawalia. Katibu Mkuu wa Idara ya Vijana na Uchumi wa Ubunifu, Fikirini Jacobs, aliungana na Rais wa Jamhuri ya Kenya, […]

Continue reading

NYOTA MOMBASA – UKANDA WA PWANI

Katibu Mkuu wa Masuala ya Vijana na Uchumi bunifu , Fikirini Jacobs, alijiunga na Rais Dkt. William Samoei Ruto leo katika Uwanja wa Jomo Kenyatta, Mkomani, Mombasa, wakati wa zoezi la ugawaji wa ruzuku ya kibiashara ya NYOTA yenye thamani ya Shilingi milioni 147 kwa vijana 5,880 kutoka gatuzi la Mombasa, Taita Taveta na Kwale. […]

Continue reading

GROWING THE CREATIVE ECONOMY

The PS, State Department for Youth Affairs and Creative Economy Fikirini Jacobs, was this morning hosted by Msenangu FM to  discuss the government’s interventions in growing the creative economy and create sustainable opportunities for young people across the country. The PS affirmed that the creative economy is one of the world’s fastest-growing billion-dollar industries, and […]

Continue reading

NYOTA IN MALINDI, COAST REGION

The Principal Secretary for Youth Affairs and Creative Economy, Fikirini Jacobs joined the President H.E Dr William Samoei Ruto today at the Buntwani Waterfront Park, Malindi for the NYOTA business grant disbursement of Ksh. 126 million to some 5,040 youth from Kilifi, Lamu and Tana River counties. In his remarks, PS Fikirini described NYOTA programme […]

Continue reading